Translate

Tuesday, November 13, 2012

Sunday, November 11, 2012

MFANANO UPO?

Kilichopo kipo, Kisichokuwepo hakipo! Mfadhaiko kwa hilo vipi tena. Mshukuru MUNGU kwa YOTE.

Saturday, November 10, 2012

LEARNING

Long term living marks SENSE if run tight with competent learning about sequence and trends of life.

Friday, November 9, 2012

ULALE PEMA

Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe! Ailaze pema Roho ya Askofu A. Balina.

Thursday, November 8, 2012

The mirror in its deceitful character will only show you your profile features but not your emotional features! Call GOD for balance.

Wednesday, November 7, 2012

Ni sera au raslimali_mfumo kuwa na mporomoko wa maadili ya Ualimu? Cheki matumizi ya lugha na ...nk
Hawana la kufanya, wafanyalo hawalijui, wajualo kuperuzi nyendo za watu, wameshindwa kazi, kilichobaki ni UNAFIKI mtupu!

Tuesday, November 6, 2012

HAKUNA MKAMILIFU

Kuwa juu ghorofani ukiwatazama UTUPU waogao chini katika mabafu ya wazi si kuwa salama, kwani kuna MAKOMBEO yawezayo kukushusha!

Monday, November 5, 2012

SOMO GANI?

Leo ni uchaguzi nchini Marekani, WATZ tumejifunza nini kuhusu USTAARABU katika kampeni zetu?

Sunday, November 4, 2012

I dedicate this post to ALL students sitting for 2012 Form II National Exams. May God bless you and lead you to Success!