Senior Teacher at Kishapu District Council, SHINYANGA, Tanzania.
Translate
Tuesday, September 17, 2013
BRN haitakiwi kusimama pekee kwa watumishi wa Elimu tu, Uzembe unaofanywa na idara wezeshi zinazomhudumia Mwalimu zisiachiwe kumkatisha tamaa Mwalimu, vinginevyo ualimu utakuwa ni kada kandamizi!